MATOKEO YA CHELSEA VS PSG | MAUJANJA 24 NEWZ

HABARI ZA KITAIFA,KIMATAIFA,KUMBUKUMBU ZA KIHISTORIA,MICHEZO NA BURUDANI,NA MENGINE MENGI

Breaking News
Loading...

Thursday, March 10, 2016

MATOKEO YA CHELSEA VS PSG

Kama Bado Hujajiunga Nami, Unaweza Kujiunga Kwa Kubonyeza Like Hapa Chini Nikutumie Habari Moja Kwa Moja
Michezo ya marudiano hatua ya 16 bira ya Ligi ya Mabingwa Ulaya imeendelea tena usiku wa March 9, kwa michezo miwili kupigwa barani Ulaya. Klabu ya Chelsea ilikuwa mwenyeji wa klabu ya Paris Saint Germain ya Ufaransa, wakati Zenit walicheza dhidi ya Benfica.
Kwa upande wa klabu ya Chelsea walikuwaStamford Bridge chu kupambana na PSG ili waweze kusonga mbele hatua robo fainali kwa kuhangaika kutaka kuifunga klabu hiyo, ambayo mchezo wa kwanza, walifungwa 2-1Paris Ufaransa.
2065
Hata hivyo jitihada za Chelsea ziligonga mwamba, baada ya PSG kufanikiwa kuibuka na ushindi wa goli 2-1, hivyo Chelsea wametolewa kwa jumla ya magoli 4-2. Magoli ya PSGyalifungwa na Adrien Rabiot dakika ya 16 naZlatan Ibrahimovic dakika ya 67 na Chelseakuambulia goli moja pekee lililofungwa naDiego Costa dakika ya 27.
KUPATA HABARI NA MATUKIO YA KILA SIKU, BONYEZA Like HAPA CHINI
Asante! TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

google+

linkedin

Maujanja Yote Tz Blog
  • Karibu katika Mtandao Huu unaotoa Habari Za Uhakika Kutoka Ndani Na Nje Na Tanzania. Kama una Tangazo,Habari,Picha,Ushauri n.k Wasiliana nasi kwa simu namba 0755-207374. Soma Zaidi

    0 comments:

     

    IDADI YA WASOMAJI

    TAFUTA HABARI HAPA