Mkuu wa Mkoa, Makonda atembelea timu ndani ya EFM redio leo | MAUJANJA 24 NEWZ

HABARI ZA KITAIFA,KIMATAIFA,KUMBUKUMBU ZA KIHISTORIA,MICHEZO NA BURUDANI,NA MENGINE MENGI

Breaking News
Loading...

Thursday, March 31, 2016

Mkuu wa Mkoa, Makonda atembelea timu ndani ya EFM redio leo

Kama Bado Hujajiunga Nami, Unaweza Kujiunga Kwa Kubonyeza Like Hapa Chini Nikutumie Habari Moja Kwa Moja
 Mkurungenzi wa EFM redio Francis Siza katika picha ya pamoja  na  Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda leo alipotembelea kituo hicho cha Redio cha EFM ziara  hiyo ilikuwa kuangalia utendaji kazi wa redio hiyo pamoja na kujadiliana mambo kadha wa kadha yahusianayo na jamii kwa ujumla.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda akizungumza na baadhi ya ya watangazaji wa kipindi cha UHONDO ambao ni Dina Marios, Swebe Santana pamoja  na Sofia Amani.
 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda akiwa katika kitengo cha mauzo na masoko cha EFM redio akizungumza na maafisa masoko wa kituo hicho. 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda akiwa chumba cha uzalishaji (Production) cha EFM redio akiwa katika kitengo cha utafiti, mawasiliano na ubunifu.
KUPATA HABARI NA MATUKIO YA KILA SIKU, BONYEZA Like HAPA CHINI
Asante! TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

google+

linkedin

Maujanja Yote Tz Blog
  • Karibu katika Mtandao Huu unaotoa Habari Za Uhakika Kutoka Ndani Na Nje Na Tanzania. Kama una Tangazo,Habari,Picha,Ushauri n.k Wasiliana nasi kwa simu namba 0755-207374. Soma Zaidi

    0 comments:

     

    IDADI YA WASOMAJI

    TAFUTA HABARI HAPA