Wapiganaji walibaka badala ya mishahara Sudan Kusini | MAUJANJA 24 NEWZ

HABARI ZA KITAIFA,KIMATAIFA,KUMBUKUMBU ZA KIHISTORIA,MICHEZO NA BURUDANI,NA MENGINE MENGI

Breaking News
Loading...

Friday, March 11, 2016

Wapiganaji walibaka badala ya mishahara Sudan Kusini

Kama Bado Hujajiunga Nami, Unaweza Kujiunga Kwa Kubonyeza Like Hapa Chini Nikutumie Habari Moja Kwa Moja

Wapiganaji walio watiifu kwa jeshi la Sudan Kusini wameruhusiwa kuwabaka wanawake badala ya mishahara wakati wa vita dhidi ya waasi,ripoti moja ya Umoja wa Mataifa imesema.
Wachunguzi walibaini kwamba wanawake 1,300 walibakwa mwaka uliopita katika jimbo lenye utajiri mkubwa wa mafuta la Unity State pekee.
Katika ripoti tofauti,shirika la Amnesty International linasema kuwa zaidi ya wanaume 60 na wavulana walitiwa ndani ya kasha na kunyimwa hewa na vikosi vya serikali.
Serikali imekana kwamba jeshi lake liliwalenga raia lakini limesema linachunguza.
''Tuna sheria ambazo tunazifuata'',msemaji wa rais Salva Kiir,Ateny Wek Ateny alikiambia kipindi cha BBC Newsday.
KUPATA HABARI NA MATUKIO YA KILA SIKU, BONYEZA Like HAPA CHINI
Asante! TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

google+

linkedin

Maujanja Yote Tz Blog
  • Karibu katika Mtandao Huu unaotoa Habari Za Uhakika Kutoka Ndani Na Nje Na Tanzania. Kama una Tangazo,Habari,Picha,Ushauri n.k Wasiliana nasi kwa simu namba 0755-207374. Soma Zaidi

    0 comments:

     

    IDADI YA WASOMAJI

    TAFUTA HABARI HAPA