Kama Bado Hujajiunga Nami, Unaweza Kujiunga Kwa Kubonyeza Like Hapa Chini Nikutumie Habari Moja Kwa Moja
Na Miaka 69 iliyopita katika siku kama hii ya leo, aliaga dunia msomi na mvumbuzi maarufu wa Kimarekani,Henry Ford akiwa na umri wa miaka 84.Ford alizaliwa mwaka 1863 katika familia ya kimasikini katika kijiji cha Greenfield nchini Marekani.Akiwa bado barobaro,Henry Ford alijishughulisha na utengenezaji wa saa na alipokuwa kijana alifanya kazi ya umakanika.Henry Ford anatambuliwa kuwa mmoja wa wavumbuzi wa magari aina ya FORD.
Siku kama ya leo mwaka 1945 meli ya kivita na kubwa kuliko zote duniani kuwahi kutengeneza iliyopewa jina la Yamato iliyomilikiwa na jeshi la Japan yazamishwa na ndege za kivita za marekani wakati wa vita vya Okinawa
Na siku kama ya leo miaka 36 iliyopita yaani mwaka 1980 Marekani na Iran zavunja uhusiano wao rasmi
KUPATA HABARI NA MATUKIO YA KILA SIKU, BONYEZA Like HAPA CHINI
Asante! TOA MAONI YAKO HAPA CHINI
0 comments:
Post a Comment