Wafanyikazi wa kike wa Air France kuvaa vilemba Tehran | MAUJANJA 24 NEWZ

HABARI ZA KITAIFA,KIMATAIFA,KUMBUKUMBU ZA KIHISTORIA,MICHEZO NA BURUDANI,NA MENGINE MENGI

Breaking News
Loading...

Tuesday, April 5, 2016

Wafanyikazi wa kike wa Air France kuvaa vilemba Tehran

Kama Bado Hujajiunga Nami, Unaweza Kujiunga Kwa Kubonyeza Like Hapa Chini Nikutumie Habari Moja Kwa Moja
ImageGetty
Imagekampuni ya ndege za Airfrance
Kampuni ya ndege ya Air France iko tayari kusafiri bila wafanyikazi wake wa kike katika safari mpya ya kuelekea Tehran baada ya kutakiwa kujifunika kichwa wakati wanapowasili nchini Iran.
Ndege hiyo itaanzisha safari zake za ndege mjini Tehran mnamo tarehe 17 mwezi Aprili.
Usimamizi wa kampuni hiyo ulisambaza barua ukiwataka wafanyikazi wake wa kike kuvaa suruali ndefu pamoja na kuvaa vilemba wakati wanapotoka katika ndege hiyo mjin Tehran.
Maafisa wa muungano wa wafanyikazi hao umesema kuwa baadhiya wafanyikazi wana wasiwasi kuhusu uamuzi huo na wamewataka wakuu wa ndege hiyo kuuondoa uamuzi huo.
Katika mkutano na miungano kadhaa siku ya Jumatatu ,Gilles Gateau,amekiambia kitui cha habari cha Europe 1 kwamba wako tayari kuwepo kwa maelewano.
''Iwapo hawataki kuvaa vilemba wanapowasili Tehran basi watapewa safari nyengine tofauti''.
KUPATA HABARI NA MATUKIO YA KILA SIKU, BONYEZA Like HAPA CHINI
Asante! TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

google+

linkedin

Maujanja Yote Tz Blog
  • Karibu katika Mtandao Huu unaotoa Habari Za Uhakika Kutoka Ndani Na Nje Na Tanzania. Kama una Tangazo,Habari,Picha,Ushauri n.k Wasiliana nasi kwa simu namba 0755-207374. Soma Zaidi

    0 comments:

     

    IDADI YA WASOMAJI

    TAFUTA HABARI HAPA