Birthday ya ‘Tiffah’ wa Diamond yaanza kuandaliwa miezi 3 kabla | MAUJANJA 24 NEWZ

HABARI ZA KITAIFA,KIMATAIFA,KUMBUKUMBU ZA KIHISTORIA,MICHEZO NA BURUDANI,NA MENGINE MENGI

Breaking News
Loading...

Thursday, May 26, 2016

Birthday ya ‘Tiffah’ wa Diamond yaanza kuandaliwa miezi 3 kabla

Kama Bado Hujajiunga Nami, Unaweza Kujiunga Kwa Kubonyeza Like Hapa Chini Nikutumie Habari Moja Kwa Moja
Mtoto wa staa wa muziki nchini, Diamond Platnumz, Tiffah atatimiza mwaka mmoja August 6 mwaka huu, ambapo tayari familia yake imeanza kufanya maandalizi ya kusherekea sherehe ya mtoto wao kutimiza mwaka mmoja.

Kupitia ukurasa wa instagram wa Tiffah ambao unaendeshwa na wazazi wake, umetoa ujumbe huu kwa kampuni za mapambo:

My 1st Royal birthday is loading. Kindly tag the best event planner/decor personnels that you’d like to see plan and manage my bday party

Wadau na mashabiki mbalimbali wa Diamond na Zari, wanasubiria kwa hamu kushuhudia tukio hilo la aina yake, huku kukiwa hakuna taarifa rasmi kwamba sherehe hiyo itafanyikia wapi.
KUPATA HABARI NA MATUKIO YA KILA SIKU, BONYEZA Like HAPA CHINI
Asante! TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

google+

linkedin

Maujanja Yote Tz Blog
  • Karibu katika Mtandao Huu unaotoa Habari Za Uhakika Kutoka Ndani Na Nje Na Tanzania. Kama una Tangazo,Habari,Picha,Ushauri n.k Wasiliana nasi kwa simu namba 0755-207374. Soma Zaidi

    0 comments:

     

    IDADI YA WASOMAJI

    TAFUTA HABARI HAPA