Pele asema kama yeye ni mfalme basi Messi ni Prince. | MAUJANJA 24 NEWZ

HABARI ZA KITAIFA,KIMATAIFA,KUMBUKUMBU ZA KIHISTORIA,MICHEZO NA BURUDANI,NA MENGINE MENGI

Breaking News
Loading...

Thursday, May 19, 2016

Pele asema kama yeye ni mfalme basi Messi ni Prince.

Kama Bado Hujajiunga Nami, Unaweza Kujiunga Kwa Kubonyeza Like Hapa Chini Nikutumie Habari Moja Kwa Moja
Mpaka sasa dunia imekuwa ikiwaita wachezaji hawa wafalme kwenye soka, Pele, Diego Maradona na Lionel Messi. Hivi karibuni mbrazili Pele amesema yeye tu ndio mfalme na kwamba kama yeyeni mfalme basi Messi ni mtoto wa kiume wa mfalme ambaye ni Prince.
Pele kaongea na La Vanguardia nakusema ” if he was ‘the king’ of soccer, then Messi should be ‘the prince.’
Over the last 15 years, Messi is the prince,I’m not saying he is the king because my parents closed the factory and broke the mold … There is only one king.”
Pele pia amesema mchezaji wa Real Madrid legend Alfredo Di Stefano ndio mchezaji wa Argentine aliyekamilika zaidi akifuatiwa na Diego Maradona na Messi.
KUPATA HABARI NA MATUKIO YA KILA SIKU, BONYEZA Like HAPA CHINI
Asante! TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

google+

linkedin

Maujanja Yote Tz Blog
  • Karibu katika Mtandao Huu unaotoa Habari Za Uhakika Kutoka Ndani Na Nje Na Tanzania. Kama una Tangazo,Habari,Picha,Ushauri n.k Wasiliana nasi kwa simu namba 0755-207374. Soma Zaidi

    0 comments:

     

    IDADI YA WASOMAJI

    TAFUTA HABARI HAPA