MAUJANJA 24 NEWZ

MAUJANJA 24 NEWZ

HABARI ZA KITAIFA,KIMATAIFA,KUMBUKUMBU ZA KIHISTORIA,MICHEZO NA BURUDANI,NA MENGINE MENGI

Breaking News
Loading...

Latest Post

Saturday, August 4, 2018

Audio: Supa Newe – Muogope Mungu

PAKUA ...
HAKIKISHA UMESOMA NA HABARI HII HAPA CHINI

Saturday, February 17, 2018

Salumu Mwalim afunguka Mawakala wa Chama Chake Kuzuiwa Kuingia

Mgombea wa ubunge jimbo la Kinondoni kupitia Chadema, Salum Mwalimu amelalamikia uchaguzi huo kuwa mawakala wa chama hicho wamezuiwa kuingia katika vituo vya kupigia kura kwa wakati. Akizungumza leo Februari 17, 2018 amesema mawakala wa chama hicho kikuu cha upinzani wamechelewa katika baadhi ya vituo kwa saa mbili hadi tatu. Mwalimu alitolea mfano Kata ya Hananasifu kuwa mawakala hao wameingia...

Saturday, December 9, 2017

Tambua Madhara ya Ulaji wa Chipsi

Chips ni aina ya chakula ambacho hupendwa na watu wengi na pia ni miongoni mwa vyakula vyenye mafuta mengi. chips pia inasemekana ni miongoini mwa vyakula ambavyo hupikwa katika joto la juu zaidi ya 300 degree.Chips ni chakula chenye mafuta mengi na mafuta yanapoingia mwilini huenda kuzunguka sehemu ya mwili wa mwanadamu. kama ni mtu ambaye mazoezi pia hufanyi madhara yake ni kupata magonjwa ya...

Friday, December 8, 2017

Diamond Platnumz ft Rick Ross-WAKA (Official Video)

Diamond  Platnumz ft Rick Ross-WAKA (Official Video) ...

Saturday, September 9, 2017

Kabla ya kufunga ndoa hakikisha mmepima haya magonjwa 4 ya kuambukizwa

1. Ugonjwa wa kaswende.Kitaalamu kama syphilis, huu ni ugonjwa hatari sana ambao umeharibu maisha ya watu wengi bila wao kujifahamu. Ugonjwa huu ambao huambukizwa kwa njia ya kujamiana huanza kidogo na kidonda ambacho hakiumi sehemu ambapo wadudu wamepita mfano mdomoni au sehemu za siri.Kidonda hicho hupona, upele usiowasha hutokea na baadae vyote hivyo hupotea. Ugonjwa huu baadae huingia ndani...

Thursday, September 7, 2017

Marekani yataka mali ya Kim Jong-un kutwaliwa

Haki miliki ya pichaKCNAImage captionMarekani yataka kutwaliwa mali ya Kim Jong-un Marekani imendekeza vikwazo vipya vya Umoja wa Mataifa dhidi ya Korea Kaskazini, ikiwemo marufuku kwa biashara ya mafuta na kutwaliwa kwa mali ya kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-un. Azimio lililowasilishwa kwa wanachama wa baraza la ulinzi wa Umoja wa Mataifa, linakuja baada ya jaribio la sita la nyuklia kufanywa...

Sunday, September 3, 2017

Bila Uvumilivu utaacha kila siku, kuwa makini katika hili

Ukiwa mtu wa kuangalia mambo kwa juu juu basi kila kitu kwako kitakuwa kigumu. Kusoma unaweza kuona ni kugumu, kufanya kazi kugumu, hata kusubiri mshahara unaweza kuona ni kugumu.Urahisi kwako unaweza kuwa katika kutumia pesa, pengine  na kula tu. Ila watu waerevu na wenye uvumilivu kwako kila kitu kinaweza kuwa tofauti na wewe.1. Unachoona kigumu kwao wanahisi si ugumu bali ni changamoto...
 

IDADI YA WASOMAJI

TAFUTA HABARI HAPA