Raia wa Congo kumchagua rais mpya | MAUJANJA 24 NEWZ

HABARI ZA KITAIFA,KIMATAIFA,KUMBUKUMBU ZA KIHISTORIA,MICHEZO NA BURUDANI,NA MENGINE MENGI

Breaking News
Loading...

Sunday, March 20, 2016

Raia wa Congo kumchagua rais mpya

Kama Bado Hujajiunga Nami, Unaweza Kujiunga Kwa Kubonyeza Like Hapa Chini Nikutumie Habari Moja Kwa Moja
ImageAFP
ImageRais wa Congo akishiriki uchaguzi uliopita
Wakuu katika serikali ya Jamhuri ya Congo wameamrisha kampuni mbili kuu za simu, kufunga mawasiliano yote ya simu, wakati wa uchaguzi wa urais hapo kesho.
Wizara ya mashauri ya ndani ya nchi ilisema imefunga mawasiliano kwa sababu za usalama.
Mgombea wa upinzani, John Marie Michel Mokoko, alisema amepokea amri ya kwenda polisi, na alisema hiyo ni hatua ya kumzuia yeye katika kugombea uchaguzi.
Wagombea wanane wanampinga Rais Denis Sassou Nguesso.
Katiba ilibadilishwa mwaka jana, kumruhusu agombee tena uongozi.
KUPATA HABARI NA MATUKIO YA KILA SIKU, BONYEZA Like HAPA CHINI
Asante! TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

google+

linkedin

Maujanja Yote Tz Blog
  • Karibu katika Mtandao Huu unaotoa Habari Za Uhakika Kutoka Ndani Na Nje Na Tanzania. Kama una Tangazo,Habari,Picha,Ushauri n.k Wasiliana nasi kwa simu namba 0755-207374. Soma Zaidi

    0 comments:

     

    IDADI YA WASOMAJI

    TAFUTA HABARI HAPA