Samsung yazindua huduma ya malipo China | MAUJANJA 24 NEWZ

HABARI ZA KITAIFA,KIMATAIFA,KUMBUKUMBU ZA KIHISTORIA,MICHEZO NA BURUDANI,NA MENGINE MENGI

Breaking News
Loading...

Tuesday, March 29, 2016

Samsung yazindua huduma ya malipo China

Kama Bado Hujajiunga Nami, Unaweza Kujiunga Kwa Kubonyeza Like Hapa Chini Nikutumie Habari Moja Kwa Moja

Kampuni ya simu ya Samsung imezindua rasmi huduma ya malipo ya kutumia simu nchini China kwa ushirikiano na muungano wa wachuuzi nchini humo.
Badala ya kutumia kadi ,huduma hiyo inawaruhusu wateja kutumia simu zao aina ya smartphone kufanya ununuzi.
Soko la kampuni ya China la smartphone likiwa ndilo kubwa duniani linatoa fursa kubwa za biashara kwa mpango wa malipo kupitia simu.
Huduma za malipo za Samsung Pay na Apple Pay zitakabiliwa na ushindani mkubwa na hudma kama hiyo ya Alibaba ambayo kwa sasa inatawala soko la kielektroniki nchini humo.
Mtandao wa WeChat pia una mfumo wa malipo ambao ni maarufu sana nchini China huku kampuni kubwa ya mawasiliano nchini humo Huawei pia ikizindua huduma yake mapema mwezi huu.
KUPATA HABARI NA MATUKIO YA KILA SIKU, BONYEZA Like HAPA CHINI
Asante! TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

google+

linkedin

Maujanja Yote Tz Blog
  • Karibu katika Mtandao Huu unaotoa Habari Za Uhakika Kutoka Ndani Na Nje Na Tanzania. Kama una Tangazo,Habari,Picha,Ushauri n.k Wasiliana nasi kwa simu namba 0755-207374. Soma Zaidi

    0 comments:

     

    IDADI YA WASOMAJI

    TAFUTA HABARI HAPA