Stakhabadhi za IS zanaswa na polisi Ujerumani | MAUJANJA 24 NEWZ

HABARI ZA KITAIFA,KIMATAIFA,KUMBUKUMBU ZA KIHISTORIA,MICHEZO NA BURUDANI,NA MENGINE MENGI

Breaking News
Loading...

Thursday, March 10, 2016

Stakhabadhi za IS zanaswa na polisi Ujerumani

Kama Bado Hujajiunga Nami, Unaweza Kujiunga Kwa Kubonyeza Like Hapa Chini Nikutumie Habari Moja Kwa Moja

Maafisa wa polisi wa Ujerumani wanachunguza nakala zinazodaiwa kutambulisha idadi kubwa ya wapiganaji wa Islamic State.
Faili hizo zilizopatikana na vyombo vya habari vya Ujerumani na Uingereza zinasemekana kuwa za maswali yanayowabaini maelfu ya mashabiki wa kundi la Islamic State kutoka mataifa 50.
Nakala hizo zinaorodhesha majina,maeneo wanaoyoishi na nambari za simu za wapiganajai hao.
Maafisa wa Ujerumani wanasema kuwa wanaamini kwamba huenda faili hizo ni za kweli.
Taarifa ya wizara imesema kuwa stakhabadhi hizo zinatoa fursa kuwatambua raia wa Urejumani wanaoshiriki katika maswala ya kigaidi ya kundi la IS.
KUPATA HABARI NA MATUKIO YA KILA SIKU, BONYEZA Like HAPA CHINI
Asante! TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

google+

linkedin

Maujanja Yote Tz Blog
  • Karibu katika Mtandao Huu unaotoa Habari Za Uhakika Kutoka Ndani Na Nje Na Tanzania. Kama una Tangazo,Habari,Picha,Ushauri n.k Wasiliana nasi kwa simu namba 0755-207374. Soma Zaidi

    0 comments:

     

    IDADI YA WASOMAJI

    TAFUTA HABARI HAPA