China yazuia meli za Korea Kaskazini | MAUJANJA 24 NEWZ

HABARI ZA KITAIFA,KIMATAIFA,KUMBUKUMBU ZA KIHISTORIA,MICHEZO NA BURUDANI,NA MENGINE MENGI

Breaking News
Loading...

Thursday, March 10, 2016

China yazuia meli za Korea Kaskazini

Kama Bado Hujajiunga Nami, Unaweza Kujiunga Kwa Kubonyeza Like Hapa Chini Nikutumie Habari Moja Kwa Moja

China imepiga marufuku meli za Korea kaskazini kuingia katika bandari zake kuanzia hivi leo.
Waziri wa mashauri ya nchi za kigeni wa china ameripotiwa kutangaza vikwazo hivyo katika mkutano wa kila mwaka wa maafisa wa chama cha kikomunisti mjini Beijing.
Hatua hiyo inaileta China sambamba na vikwazo vikali vilivyotangazwa na Umoja wa Mataifa dhidi ya Korea Kaskazini wiki iliyopita.
Japan nayo imetoa malalamishi kwa korea kaskazini kufuatia hatua yake ya kurusha makombora ya masafa mafupi mashariki mwa pwani ya nchi hiyo.
Siku ya Jumanne kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-un alisema kuwa nchi yake imeunda zana za kinuklia zinazoweza kutundikwa kwenye makombora ya masafa marefu.
KUPATA HABARI NA MATUKIO YA KILA SIKU, BONYEZA Like HAPA CHINI
Asante! TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

google+

linkedin

Maujanja Yote Tz Blog
  • Karibu katika Mtandao Huu unaotoa Habari Za Uhakika Kutoka Ndani Na Nje Na Tanzania. Kama una Tangazo,Habari,Picha,Ushauri n.k Wasiliana nasi kwa simu namba 0755-207374. Soma Zaidi

    0 comments:

     

    IDADI YA WASOMAJI

    TAFUTA HABARI HAPA