Kama Bado Hujajiunga Nami, Unaweza Kujiunga Kwa Kubonyeza Like Hapa Chini Nikutumie Habari Moja Kwa Moja
Mashabiki wa soka wana mambo mengi. SImba na Yanga wana haki ya kutaniana kwa kuwa ni watani.
Mashabiki wa Yanga wametupia picha ya myama Simba anayeiwakilisha Simba, akionekana ni mwoga, anayechungulia jambo.
Lakini wakaandika manejo haya: “Bado wapo au washaenda Rwanda na mimi nijidai kidogo.”
Kwamba Yanga akiondoka, Simba nao watakuwa wana nafasi ya kujidai. Haya ni mambo ya watani. hehehehe.
KUPATA HABARI NA MATUKIO YA KILA SIKU, BONYEZA Like HAPA CHINI
Asante! TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

0 comments:
Post a Comment