Kama Bado Hujajiunga Nami, Unaweza Kujiunga Kwa Kubonyeza Like Hapa Chini Nikutumie Habari Moja Kwa Moja
Spurs ilijikuta ikichezea kichapo cha bao 3-0 ugenini huku wachezaji wenye uzoefu kama Eric Dier, Harry Kane, Mousa Dembele na Erik Lamela wote wakianzia benchi kwenye mechi hiyo.
Magoli ya Dortmund yalifungwa na Pierre-Emerick Aubameyang ambaye alifunga goli la kwanza kwa kichwa wakati Reus yeye akalipiga msumari jahazi la Spurs kwa kufunga bao mbili zilizokamilisha ushindi wa magoli 3-0 dhidi ya wageni Spurs.
Watu wengi wanajiuliza kwamba, kuwapumzisha wachezaji hao ni kwa ajili ya mechi ya Premier League kati ya Spurs dhidi ya vibonde Aston Villa?
Video ya magoli yote ya Borussia Dortmund vs Tottenham
KUPATA HABARI NA MATUKIO YA KILA SIKU, BONYEZA Like HAPA CHINI
Asante! TOA MAONI YAKO HAPA CHINI
0 comments:
Post a Comment