Djokovic atwaa taji la wazi Miami | MAUJANJA 24 NEWZ

HABARI ZA KITAIFA,KIMATAIFA,KUMBUKUMBU ZA KIHISTORIA,MICHEZO NA BURUDANI,NA MENGINE MENGI

Breaking News
Loading...

Monday, April 4, 2016

Djokovic atwaa taji la wazi Miami

Kama Bado Hujajiunga Nami, Unaweza Kujiunga Kwa Kubonyeza Like Hapa Chini Nikutumie Habari Moja Kwa Moja
ImageGetty Images
ImageNovak Djokovic
Nyota namba moja kwa ubora wa mchezo wa tenesi duniani kwa wanaume Novack Djokovic ameendelea kutamba katika mchezo huo.
Djokovic ametwaa ubingwa wa michuano ya wazi ya Miami kwa kumshinda mpinzani wake Kei Nishikori, kwa kumchapa kwa jumla ya seti mbili kwa 6-3 6-3.
Ushindi huo unampa nyota huyu wa tenesi taji la 63 toka alivyoanza kucheza mchezo huu katika ngazi ya ushindani.
Mchezaji huyu ameingiza kaisi cha $1,028,300 baada ya mchezo huo na kuwa anaongoza kwa wacheza tenesi wanaoingiza pesa nyingi na akiwa amefikisha kiasi cha $100 million, katika muda aliocheza mchezo huo.
KUPATA HABARI NA MATUKIO YA KILA SIKU, BONYEZA Like HAPA CHINI
Asante! TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

google+

linkedin

Maujanja Yote Tz Blog
  • Karibu katika Mtandao Huu unaotoa Habari Za Uhakika Kutoka Ndani Na Nje Na Tanzania. Kama una Tangazo,Habari,Picha,Ushauri n.k Wasiliana nasi kwa simu namba 0755-207374. Soma Zaidi

    0 comments:

     

    IDADI YA WASOMAJI

    TAFUTA HABARI HAPA