Yanga yashinda, Azam yavutwa shati | MAUJANJA 24 NEWZ

HABARI ZA KITAIFA,KIMATAIFA,KUMBUKUMBU ZA KIHISTORIA,MICHEZO NA BURUDANI,NA MENGINE MENGI

Breaking News
Loading...

Monday, April 4, 2016

Yanga yashinda, Azam yavutwa shati

Kama Bado Hujajiunga Nami, Unaweza Kujiunga Kwa Kubonyeza Like Hapa Chini Nikutumie Habari Moja Kwa Moja
ImageKikosi cha watoto wa Jangwani Yanga.
Ligi kuu ya Tanzania bara iliendelea tena mwisho wa wiki kwa michezo mitano kupigwa.
Katika dimba la Taifa Jijini Dar Es Salaam klabu ya soka ya Yanga iliibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Kagera Sugar.
Mabao ya wanajangwani hao yalifungwa na Donald Ngoma, Amisi Tabwe na mlinzi wa kushoto haji Mwinyi akifunga bao la mwisho,huku bao pekee la Kagera Sugar likifungwa na Mbaraka Yussuf.
Nao Azam Fc wakicheza ugenini kwenye dimba la Kirumba huko Mkoani Mwanza walikwenda sare ya bao 1-1 na Toto Africans.
Matokeo ya michezo mingine ni
Stand United 2 – 0 Mgambo JKT
Ndanda FC 0 – 0 Tanzania Prisons
JKT Ruvu 1 – 0 African Sports
KUPATA HABARI NA MATUKIO YA KILA SIKU, BONYEZA Like HAPA CHINI
Asante! TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

google+

linkedin

Maujanja Yote Tz Blog
  • Karibu katika Mtandao Huu unaotoa Habari Za Uhakika Kutoka Ndani Na Nje Na Tanzania. Kama una Tangazo,Habari,Picha,Ushauri n.k Wasiliana nasi kwa simu namba 0755-207374. Soma Zaidi

    0 comments:

     

    IDADI YA WASOMAJI

    TAFUTA HABARI HAPA