Fid Q amzungumzia Msanii Taz wa Zambia aliyefanya naye wimbo wa ‘Walk It Off | MAUJANJA 24 NEWZ

HABARI ZA KITAIFA,KIMATAIFA,KUMBUKUMBU ZA KIHISTORIA,MICHEZO NA BURUDANI,NA MENGINE MENGI

Breaking News
Loading...

Monday, March 14, 2016

Fid Q amzungumzia Msanii Taz wa Zambia aliyefanya naye wimbo wa ‘Walk It Off

Kama Bado Hujajiunga Nami, Unaweza Kujiunga Kwa Kubonyeza Like Hapa Chini Nikutumie Habari Moja Kwa Moja
Akiwa kwenye kipindi cha friday nite live rapa Fid Q ameseka wazi jinsi alivyofanya kazi na msanii Taz kutoka Zambia.
Fid Q anasema “Nilikutana na jamaa na kusikiliza kazi zake na kuona kitu tofauti kwenye uimbaji wake, Taz nikama P Funk Majani wa Zambia amewatoa wasanii wengi ila kwa sasa hafanyi tena muziki wa dunia,anafanya mambo ya injili tu, ilikuwa kama zali sababu nilibadilisha mawazo na kuamua kufanya wimbo huko na video hii, hakutaka kuonekana kwenye video ila sababu alipatia sana kiitikio ilimlazimu tu afanye“.
Fid Q amefanya video Afria Kusin ya Wimbo wa Walk It Off.
KUPATA HABARI NA MATUKIO YA KILA SIKU, BONYEZA Like HAPA CHINI
Asante! TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

google+

linkedin

Maujanja Yote Tz Blog
  • Karibu katika Mtandao Huu unaotoa Habari Za Uhakika Kutoka Ndani Na Nje Na Tanzania. Kama una Tangazo,Habari,Picha,Ushauri n.k Wasiliana nasi kwa simu namba 0755-207374. Soma Zaidi

    0 comments:

     

    IDADI YA WASOMAJI

    TAFUTA HABARI HAPA