Picha,Akiwa na umri wa miaka 59 Koffi Olomide awashangaza Kenya kwa mavazi yake ya show | MAUJANJA 24 NEWZ

HABARI ZA KITAIFA,KIMATAIFA,KUMBUKUMBU ZA KIHISTORIA,MICHEZO NA BURUDANI,NA MENGINE MENGI

Breaking News
Loading...

Monday, March 14, 2016

Picha,Akiwa na umri wa miaka 59 Koffi Olomide awashangaza Kenya kwa mavazi yake ya show

Kama Bado Hujajiunga Nami, Unaweza Kujiunga Kwa Kubonyeza Like Hapa Chini Nikutumie Habari Moja Kwa Moja
koffi
Muimbaji kutoka Congo Koffi Olomide amefanya show mjini Nairobi kwenye ukumbi wa Arboretum Gardens katika tamasha la 11 la Koroga na kuwapa wakensho show kali ya muziki wa danca mwaka huu.
Muonekani wa Koffi Olomide ambaye amemzidi rais Uhuru Kenyatta miaka mitano ulishangaza watu sababu alivali nguo za ujana sana mpaka kupitiliza
Nguo za Koffi Zilikuwa na mapambo tofauti na viatu vyake vilikuwa toleo jipya la Louis Vuitton.
koffi 2
KUPATA HABARI NA MATUKIO YA KILA SIKU, BONYEZA Like HAPA CHINI
Asante! TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

google+

linkedin

Maujanja Yote Tz Blog
  • Karibu katika Mtandao Huu unaotoa Habari Za Uhakika Kutoka Ndani Na Nje Na Tanzania. Kama una Tangazo,Habari,Picha,Ushauri n.k Wasiliana nasi kwa simu namba 0755-207374. Soma Zaidi

    0 comments:

     

    IDADI YA WASOMAJI

    TAFUTA HABARI HAPA