Kama Bado Hujajiunga Nami, Unaweza Kujiunga Kwa Kubonyeza Like Hapa Chini Nikutumie Habari Moja Kwa Moja
Muimbaji kutoka Congo Koffi Olomide amefanya show mjini Nairobi kwenye ukumbi wa Arboretum Gardens katika tamasha la 11 la Koroga na kuwapa wakensho show kali ya muziki wa danca mwaka huu.
Muonekani wa Koffi Olomide ambaye amemzidi rais Uhuru Kenyatta miaka mitano ulishangaza watu sababu alivali nguo za ujana sana mpaka kupitiliza
Nguo za Koffi Zilikuwa na mapambo tofauti na viatu vyake vilikuwa toleo jipya la Louis Vuitton.
KUPATA HABARI NA MATUKIO YA KILA SIKU, BONYEZA Like HAPA CHINI
Asante! TOA MAONI YAKO HAPA CHINI
0 comments:
Post a Comment