Kampuni ya michezo ya Mayweather promotions yamsajili bondia wa Uganda Sharif Bogere | MAUJANJA 24 NEWZ

HABARI ZA KITAIFA,KIMATAIFA,KUMBUKUMBU ZA KIHISTORIA,MICHEZO NA BURUDANI,NA MENGINE MENGI

Breaking News
Loading...

Monday, March 14, 2016

Kampuni ya michezo ya Mayweather promotions yamsajili bondia wa Uganda Sharif Bogere

Kama Bado Hujajiunga Nami, Unaweza Kujiunga Kwa Kubonyeza Like Hapa Chini Nikutumie Habari Moja Kwa Moja
sharif
Mayweather promotions imemsajili bondo wa uzito wa chini kutoka Uganda boxer Sharif Bogere aka ‘The Lion’.
Sharif Bogere anaishi Marekani na amepigana mapambani 28 ,kashinda 27, kapigwa 1 na 19 ni knockouts.
Bogere kwa sasa anafundishwa ngumi mjini Las Vegas na mwalimu maarufu Kenny Adams.
Floyd Mayweather amesema “Anafuraha ya kumsajili Sharif Bogere sababu ni bondia mwenye nja na hasira za mafanikio, ana stori nzuri ya ngumi toka aanze na anauwezo wa kuwa bondia bingwa wa dunia”.
Mayweather3Sharif Bogere
KUPATA HABARI NA MATUKIO YA KILA SIKU, BONYEZA Like HAPA CHINI
Asante! TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

google+

linkedin

Maujanja Yote Tz Blog
  • Karibu katika Mtandao Huu unaotoa Habari Za Uhakika Kutoka Ndani Na Nje Na Tanzania. Kama una Tangazo,Habari,Picha,Ushauri n.k Wasiliana nasi kwa simu namba 0755-207374. Soma Zaidi

    0 comments:

     

    IDADI YA WASOMAJI

    TAFUTA HABARI HAPA