MLEMAVU AMCHENGUA DONALD NGOMA, AKUBALI ANACHOFANYA, ASEMA ANAMPA HESHIMA | MAUJANJA 24 NEWZ

HABARI ZA KITAIFA,KIMATAIFA,KUMBUKUMBU ZA KIHISTORIA,MICHEZO NA BURUDANI,NA MENGINE MENGI

Breaking News

Monday, March 14, 2016

MLEMAVU AMCHENGUA DONALD NGOMA, AKUBALI ANACHOFANYA, ASEMA ANAMPA HESHIMA

Kama Bado Hujajiunga Nami, Unaweza Kujiunga Kwa Kubonyeza Like Hapa Chini Nikutumie Habari Moja Kwa Moja

Mshambuliaji nyota wa Yanga, Donald Ngoma ametupia picha mtandaoni akimuonyesha mwanaume mmoja ambaye ni mlemavu na kusema anampa heshima kubwa.

Ingawa hakuweka maelezo ya kutosha, lakini Ngoma ambaye ni mpambanaji uwanjani anaonyesha kufurahishwa na namna mlemavu huyo alivyokataa mambo ya kuomba asaidiwe na badala yake amekuwa mbunivu.

Huenda ni kwao Zimbabwe, mlemavu huyo anaonekana akiuza bidhaa zake rejareja lakini akiwa nadhifu kabisa.


Picha hiyo inaweza ikawa funzo kwa wale ambao wamekata tamaa kutokana na ulemavu. Kwamba maisha yanaweza kuendelea na wakawa wafanyabiashara wanaoweza kuendesha maisha yao wenyewe.
KUPATA HABARI NA MATUKIO YA KILA SIKU, BONYEZA Like HAPA CHINI
Asante! TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

google+

linkedin

Maujanja Yote Tz Blog
  • Karibu katika Mtandao Huu unaotoa Habari Za Uhakika Kutoka Ndani Na Nje Na Tanzania. Kama una Tangazo,Habari,Picha,Ushauri n.k Wasiliana nasi kwa simu namba 0755-207374. Soma Zaidi

    0 comments:

     

    IDADI YA WASOMAJI

    55,267

    TAFUTA HABARI HAPA