HII NDIYO CAMP NOU MPYA, WAJAPANI WAPEWA KAZI YA KUITENGENEZA UPYA | MAUJANJA 24 NEWZ

HABARI ZA KITAIFA,KIMATAIFA,KUMBUKUMBU ZA KIHISTORIA,MICHEZO NA BURUDANI,NA MENGINE MENGI

Breaking News
Loading...

Wednesday, March 9, 2016

HII NDIYO CAMP NOU MPYA, WAJAPANI WAPEWA KAZI YA KUITENGENEZA UPYA

Kama Bado Hujajiunga Nami, Unaweza Kujiunga Kwa Kubonyeza Like Hapa Chini Nikutumie Habari Moja Kwa Moja

Klabu ya Barcelona, imeamua kurekebisha Uwanja wake wa Camp Nou ambayo utakuwa unaingiza hadi watazamaji 105, 000 ifikapo mwaka 2021.

Barcelona italazimika kutumia hadi pauni milioni 465 ili kukamilisha zoezi hilo kupitia wataalamu wa ujenzi wa kampuni ya Nikken Sekkei kutoka nchini Japan.




KUPATA HABARI NA MATUKIO YA KILA SIKU, BONYEZA Like HAPA CHINI
Asante! TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

google+

linkedin

Maujanja Yote Tz Blog
  • Karibu katika Mtandao Huu unaotoa Habari Za Uhakika Kutoka Ndani Na Nje Na Tanzania. Kama una Tangazo,Habari,Picha,Ushauri n.k Wasiliana nasi kwa simu namba 0755-207374. Soma Zaidi

    0 comments:

     

    IDADI YA WASOMAJI

    TAFUTA HABARI HAPA