Wanajeshi wa kigeni wavamia al-Shabab | MAUJANJA 24 NEWZ

HABARI ZA KITAIFA,KIMATAIFA,KUMBUKUMBU ZA KIHISTORIA,MICHEZO NA BURUDANI,NA MENGINE MENGI

Breaking News
Loading...

Wednesday, March 9, 2016

Wanajeshi wa kigeni wavamia al-Shabab

Kama Bado Hujajiunga Nami, Unaweza Kujiunga Kwa Kubonyeza Like Hapa Chini Nikutumie Habari Moja Kwa Moja

Wanajeshi makamanda wa kigeni wamefanya uvamizi wakitumia ndege aina ya helkopta katika kambi moja ya wanamgambo wa al-shabab karibu na mji ulio kisini mwa Somalia wa Awdhegele.
Wanamgambo hao walifanikiwa kuwatimua lakini wakampoteza mmoja wa wapiganaji wao kwa, mujibu wa msemaji wa al-shabab alipozungumza na shirika la habari la Reuters.
"Walikuwa wamefunika nyuso zao na walizungumza lugha ambayo wapiganaji wetu hawakuielewa. Hatuwafahamu lakinia tulifanikiwa kuwatimua, msemaji huyo alinukuliwa akisema.
Afisa mmoja wa eneo hilo Mohamed Aweys, alithibitisha uvamizi huo uliotokea umbali wa kilomita 50 magharibi mwa mji mkuu Mogadishu.
KUPATA HABARI NA MATUKIO YA KILA SIKU, BONYEZA Like HAPA CHINI
Asante! TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

google+

linkedin

Maujanja Yote Tz Blog
  • Karibu katika Mtandao Huu unaotoa Habari Za Uhakika Kutoka Ndani Na Nje Na Tanzania. Kama una Tangazo,Habari,Picha,Ushauri n.k Wasiliana nasi kwa simu namba 0755-207374. Soma Zaidi

    0 comments:

     

    IDADI YA WASOMAJI

    TAFUTA HABARI HAPA