Kama Bado Hujajiunga Nami, Unaweza Kujiunga Kwa Kubonyeza Like Hapa Chini Nikutumie Habari Moja Kwa Moja
Ajali hiyo imetokea majira ya saa 12 alfajili katika kijiji cha Kidurya nje kidogo ya mji wa Bariadi ambapo bus hilo mali ya kampuni ya Luqman aina ya Scania lenye namba za usajili T302 AUU, lilipoacha njia na kupinduka.
Kamanda wa polisi wa mkoa wa Simiyu ,Onesmo Lyanga amethibitsha kutokea kwa ajali hiyo.
Kwa upande wake kaimu mganga mkuu wa hospitali ya mji wa Bariadi, Dr.Saidi Mlowasha amesema amepokea majeruhi watatu ambao wamefikishwa hospitalini hapo na kutibiwa
KUPATA HABARI NA MATUKIO YA KILA SIKU, BONYEZA Like HAPA CHINI
Asante! TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

0 comments:
Post a Comment