DKT. MWAKYEMBE AANZA ZIARA MIKOA YA MWANZA NA GEITA | MAUJANJA 24 NEWZ

HABARI ZA KITAIFA,KIMATAIFA,KUMBUKUMBU ZA KIHISTORIA,MICHEZO NA BURUDANI,NA MENGINE MENGI

Breaking News
Loading...

Friday, April 15, 2016

DKT. MWAKYEMBE AANZA ZIARA MIKOA YA MWANZA NA GEITA

Kama Bado Hujajiunga Nami, Unaweza Kujiunga Kwa Kubonyeza Like Hapa Chini Nikutumie Habari Moja Kwa Moja
Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dr. Harrison Mwakyembe (katikati) akiongea na viongozi wa Taasisi zilizo chini ya Wizara yake Mkoani Mwanza. Kulia ni Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Nd, Baraka Konisaga na kushoto ni Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Nd.Biswalo Mganga.

Mhe. Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dr. Harrison Mwakyembe ameanza ziara ya siku tatu katika mikoa ya Mwanza na Geita.

Lengo la ziara yake ni kukagua utekelezaji wa majukumu ya Taasisi zilizo chini ya Wizara yake na zile zote zinazohusika na utoaji wa haki kwa wananchi. Taasisi atakazozitembelea ni pamoja na RITA, Ofisi ya Kanda ya Mkurugenzi wa Mashtaka, Mahakama Kuu na Jeshi la Magereza.
Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dr. Harrison Mwakyembe akikabidhi Cheti cha Kuzaliwa kwa Mama wa mmoja wa watoto aliyesajiliwa katika Kituo cha Afya MakongoroJijini Mwanza. Mkakati wa Usajili na kutoa vyeti vya kuzaliwa katika Vituo vya Tiba inatekelezwa na RITA, Wizara ya Afya na UNICEF.
Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dr. Harrison Mwakyembe akipewa maelezo ya jinsi motto anaposajiliwa na kupata Cheti cha Kuzaliwa.
Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dr. Harrison Mwakyembeakiangalia jinsi TEHAMA inavyotumika kutunza Kumbukumbu za Usajili wa Watoto wa Umri Chini ya Miaka Mitano.
KUPATA HABARI NA MATUKIO YA KILA SIKU, BONYEZA Like HAPA CHINI
Asante! TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

google+

linkedin

Maujanja Yote Tz Blog
  • Karibu katika Mtandao Huu unaotoa Habari Za Uhakika Kutoka Ndani Na Nje Na Tanzania. Kama una Tangazo,Habari,Picha,Ushauri n.k Wasiliana nasi kwa simu namba 0755-207374. Soma Zaidi

    0 comments:

     

    IDADI YA WASOMAJI

    TAFUTA HABARI HAPA