LIVERPOOL IKIWA NYUMBANI YAPATA SARE YA 1-1 DHIDI YA TOTTENHAM | MAUJANJA 24 NEWZ

HABARI ZA KITAIFA,KIMATAIFA,KUMBUKUMBU ZA KIHISTORIA,MICHEZO NA BURUDANI,NA MENGINE MENGI

Breaking News
Loading...

Sunday, April 3, 2016

LIVERPOOL IKIWA NYUMBANI YAPATA SARE YA 1-1 DHIDI YA TOTTENHAM

Kama Bado Hujajiunga Nami, Unaweza Kujiunga Kwa Kubonyeza Like Hapa Chini Nikutumie Habari Moja Kwa Moja

Coutinho alitangulia kuifungia Liverpool iliyokuwa nyumbani Anfield, lakini Harry Kane akasawazisha na timu hizo kutoka sare ya bao 1-1.

Spurs ambayo ilipania kushinda lakini pointi moja inaifanya ifikishe pointi 61 ikiendelea kubaki katika nafasi ya pili.

Hata hivyo, kuanzia kocha na wachezaji wa Spurs walionekana kutofurahia sare hiyo, kwani sasa kama watapoteza mchezo mmoja na Arsenal kushinda, basi watakuwa wamejiweka katika hofu ya kung’olewa katika nafasi hiyo ya pili, jambo ambalo wasingependa liwatokee.







KUPATA HABARI NA MATUKIO YA KILA SIKU, BONYEZA Like HAPA CHINI
Asante! TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

google+

linkedin

Maujanja Yote Tz Blog
  • Karibu katika Mtandao Huu unaotoa Habari Za Uhakika Kutoka Ndani Na Nje Na Tanzania. Kama una Tangazo,Habari,Picha,Ushauri n.k Wasiliana nasi kwa simu namba 0755-207374. Soma Zaidi

    0 comments:

     

    IDADI YA WASOMAJI

    TAFUTA HABARI HAPA