Kama Bado Hujajiunga Nami, Unaweza Kujiunga Kwa Kubonyeza Like Hapa Chini Nikutumie Habari Moja Kwa Moja
Katika utaratibu huo mpya kila Wizara itakodi basi (Coaster) kwa ajili ya kusafirisha Wakurugenzi hao kwenda Dodoma kwenye vikao vya bunge ili kutoa msaada kwa wizara zao pale wanapohitajika kufanya hivyo. Rais amefikia maamuzi haya ktk jitihada za kupunguza gharama za mafuta na posho za madereva wa wakurugenzi wanaposafiri kuelekea Dodoma.
Hata hivyo Wakurugenzi hao hawazuiwi kusafiri kwa magari yao binafsi (personal) kwa kujilipia gharama zote wao wenyewe ikiwa watataka kufanya hivyo. Katika utaratibu huu mpya inamaanisha kuwa viongozi wa wizara watakaosafiri kwa "mashangingi" kuelekea Dodoma ni Waziri, Naibu Waziri, Katibu Mkuu na Naibu Katibu mkuu tu.
KUPATA HABARI NA MATUKIO YA KILA SIKU, BONYEZA Like HAPA CHINI
Asante! TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

0 comments:
Post a Comment