Kama Bado Hujajiunga Nami, Unaweza Kujiunga Kwa Kubonyeza Like Hapa Chini Nikutumie Habari Moja Kwa Moja
Waziri wa nchi ofisi ya makamu wa pili Rais Zanzibar Mh. Mohamed Abood awataka wazanzibari kuenzi na kulinda masuala ya muungano; https://youtu.be/EkOCxug-_6I
Jumuiya ya wanataaluma wa chuo kikuu cha Dodoma wafanya kongamano la kuenzi muungano na kutaka wananchi wapewe elimu juu ya muungano;https://youtu.be/WH18ruW0ZIw
Waziri wa nchi ofisi ya makamu wa Rais mazingira January Makamba awataka wananchi kutumia njia sahihi na za kisheria katika kuzungumzia na kutatua kero za muungano; https://youtu.be/hgTDl8JbX18
Msikilize mchambuzi wa mambo ya kisiasa Sinza Godigodi akizungumzia kwa ufupi muungano wa Tanganyika na Zanzibar; https://youtu.be/clCCYhxlq_c
Upanuzi wa barabara ya Makongoro hadi uwanja wa ndege wa Mwanza waanza ili kutekeleza agizo la Rais Magufuli la kupunguza tatizo la foleni jijini humo;https://youtu.be/vXkq5DVge5w
Rais Magufuli amtumia salamu za rambirambi Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta kufuatia kifo cha aliyekuwa mke wa Rais wa zamani wa nchi hiyo Mwai Kibaki;https://youtu.be/8vzeMBquDPo
Timu za Yanga na Azam zinatarajiwa kushuka dimbani kuendelea kumalizia Viporo vyao hapo kesho jijini Dar es salaam; https://youtu.be/N0ZEfm66S1c
Chama cha soka mkoani Ruvuma FARU chajipanga kuongeza timu nyingine ligi kuu kutoka mkoani humo timu ya JKT Mlale; https://youtu.be/UrWUt98Pjp4
Ligi ya mabingwa barani Ulaya kuendelea tena hii leo kwa kuzikutanisha timu za Manchester city ya Uingereza na Real Madrid ya Hispania;https://youtu.be/MRoi6uf4_PU
Wanariadha nchini watakiwa kufanya mazoezi kwa ajili ya kujiweka fiti kwa afya zao na mashindano ya kimataifa; https://youtu.be/BP_SXMr3je4
Rais amevunja bodi ya mamlaka ya mawasiliano TCRA na kumsimamisha mkurugenzi wa mamlaka hiyo kwa kusababisha serikali hasara ya mabilioni ya fedha.https://youtu.be/4pHZx2E_Z0M
Baadhi ya wananchi mkoani Dar es Salaam wameunga mkono hatua ya Rais Magufuli kusitisha shamrashamra za muungano na kuelekeza fedha za shughuli hiyo kujenga barabara ya uwanja wa ndege jijini Mwanza. https://youtu.be/X1mAiQAvidY
Mhadhiri kutoka chuo kikuu cha Dodoma amesema kero zinazojitokeza kuhusu muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar zinatokana na kukosekana na utashi wa viongozi wanaosimamia muungano. https://youtu.be/b6sJ2nce0HU
Rais Dr. John Pombe Magufuli ametoa msamaha kwa wafungwa zaidi ya elfu tatu kama sheria inavyomtaka huku msamaha huo ukiwahusu wafungwa wagonjwa, wazee na wanaonyonyesha. https://youtu.be/jxUlIgEdoZ4
Wananchi wa Liwale katika kijiji cha Ngunja licha ya kutofanyika kwa mikutano ya mapato na matumizi ya kijiji hicho wameelezwa kuwa wamekuwa wakikusanya mapato yao na kuyahifadhi kwa mwananchi; https://youtu.be/X1mAiQAvidY
Timu ya taifa taifa stars inatarajia kucheza mchezo wa kirafiki dhidi ya timu ya taifa ya kenya harambe stars mei 29 ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya mchezo dhidi ya misri wa kufuzu fainali za mataifa ya Afrika. https://youtu.be/a1VEkqKj9co
Michuano ya mpira wa mikono imehitimisho leo ikikabiliwa na changamoto nyingi ikiwemobaaddhi ya timu kutokujitokeza na kubaki timu za majeshi tu kitu kilichofanya michuano hiyo kukosa mvuto.
Wafanyabiashara kutoka Urusi wanatarajiwa kuingia nchini kesho kuangalia fursa mbalimbali za uwekezaji nchini na kuimarisha uhusiano wa kiuchumi.https://youtu.be/xtsoDCHNGGk
Wafanyabishara na wananchi waishio eneo la Ubungo Extenal wamelalamikia chemba za maji machafu yanayotiririka kutoka mabweni yanayotumiwa na chuo kikuu cha dar es salaam (MABIBO HOSTEL). https://youtu.be/eFGe4KQcnD4
Mtu mmoja amekutwa ameuwawa kwa kupigwa na watu wasiojulikana katika manispaa ya Songea mkoani Ruvuma. https://youtu.be/iMWhr1BF7fs
Serikali ya awamu ya nne inajivunia kuweka malengo ya kutekelezeka kwenye sekta ya elimu na kutatua changamoto nyingi za elimu. https://youtu.be/YcVZQ4quKnk
Umoja wa waganga na wakunga wa jadi kutoka Geita wilaya ya Nyang’wale wamesema elimu na juhudi waliotoa uongozi wa wilaya hiyo kuwa umepunguza mauaji ya vikongwe na albino. https://youtu.be/-MMuKsFGVgE
Amri ya kuwataka ombaomba kuondoka jijini Dar es Salaam imeonekana kupuuzwa baada ya kuonekana ombaomba wakiendelea kufanya kazi yao katika mitaa mbalimbali. https://youtu.be/qAQbTF4KZbM
KUPATA HABARI NA MATUKIO YA KILA SIKU, BONYEZA Like HAPA CHINI
Asante! TOA MAONI YAKO HAPA CHINI
0 comments:
Post a Comment