Van Gaal akiacha kazi Manchester United ataenda hapa | MAUJANJA 24 NEWZ

HABARI ZA KITAIFA,KIMATAIFA,KUMBUKUMBU ZA KIHISTORIA,MICHEZO NA BURUDANI,NA MENGINE MENGI

Breaking News
Loading...

Friday, April 1, 2016

Van Gaal akiacha kazi Manchester United ataenda hapa

Kama Bado Hujajiunga Nami, Unaweza Kujiunga Kwa Kubonyeza Like Hapa Chini Nikutumie Habari Moja Kwa Moja
lvg
Moja ya story kubwa zinazosubiriwa sana msimu huu wa usajili ni kuhusu kocha LVG kuacha kazi kwenye club ya Manchester United. Kocha ambae anatajwa sana kuchukua mikoba ya LVG ni Jose Mourihno.
Sasa swali ni kwamba wapi ataenda baada ya kutoka Manchester United?. Leo zimetoka ripoti kwamba timu ya taifa ya Netherlands inataka kumpa kazi ya technical director kwenye ishu za soka nchini kwao.
LVG amepata sifa ya kuweza kuwapa nafasi vijana wadogo ambao walikua kwenye academy ya Manchester United kitu ambacho ni kizuri kwa future ya soka la Manchester United.
Kocha wa sasa wa Netherlands Danny Blind aliwai kusema kwamba anamkaribisha LVG ili waweze kufanya kazi pamoja kama walivyowahi kufanya kazi ndani ya Brazil.
KUPATA HABARI NA MATUKIO YA KILA SIKU, BONYEZA Like HAPA CHINI
Asante! TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

google+

linkedin

Maujanja Yote Tz Blog
  • Karibu katika Mtandao Huu unaotoa Habari Za Uhakika Kutoka Ndani Na Nje Na Tanzania. Kama una Tangazo,Habari,Picha,Ushauri n.k Wasiliana nasi kwa simu namba 0755-207374. Soma Zaidi

    0 comments:

     

    IDADI YA WASOMAJI

    TAFUTA HABARI HAPA