Kama Bado Hujajiunga Nami, Unaweza Kujiunga Kwa Kubonyeza Like Hapa Chini Nikutumie Habari Moja Kwa Moja

Mgombea kiti cha Urais kwa tiketi ya chama cha Republican nchini Marekani Donald Trump, amehutubia umati wa waendesha pikipiki Jijini Washington.
Trumph ametoa hotuba hiyo katika maadhimishoya kuwakumbuka maafisa wa polisi wa kiume na wa Kike wa Marekani.
Amesema watu walioko Marekani kinyume na sheria, wanahudumiwa vyema kuliko maveteran wa kijeshi suala ambalo amesema halitaendelea katika utawala wake.
KUPATA HABARI NA MATUKIO YA KILA SIKU, BONYEZA Like HAPA CHINI
Asante! TOA MAONI YAKO HAPA CHINI
0 comments:
Post a Comment