DK EVA SASA ATAKA KOCHA JOSE MOURINHO AMUOMBE RADHI HADHARANI | MAUJANJA 24 NEWZ

HABARI ZA KITAIFA,KIMATAIFA,KUMBUKUMBU ZA KIHISTORIA,MICHEZO NA BURUDANI,NA MENGINE MENGI

Breaking News
Loading...

Wednesday, March 9, 2016

DK EVA SASA ATAKA KOCHA JOSE MOURINHO AMUOMBE RADHI HADHARANI

Kama Bado Hujajiunga Nami, Unaweza Kujiunga Kwa Kubonyeza Like Hapa Chini Nikutumie Habari Moja Kwa Moja

Dk Eva Carneiro sass anataka kumuona Kocha wa zamani wa Chelsea, José Mourinho, akimuomba radii hadharani.

Eva amefikia uamuzi huo baada ya madai kwamba Mourinho alimdharirisha na kumuita ni mtu wa hovyohovyo baada ya kuingia kumtibu kiungo Eden Hazard katika mechi dhidi ya Swansea.

Eva aliamua kuondoka moja kwa moja Chelsea licha ya Mourinho aliyekuwa amemsimamisha kwa muda kukubali arejee.


Baada ya halo akafungua kesi ambayo inaonekana kukosa nguvu kwa manna ya kutaka kulipwa lakini suala la kuomba radhi linawezekana na wanasheria wake wameonakan kutaka kulisimamia hilo.

Wakati Eva anaingia kumtibu Eva, matokeo yalikuwa ni bao 1-1, jambo ambalo Mourinho aliona kama alikuwa akipoteza muda na wao walikuwa wakicheza vizuri na wangeweza kusawazisha.
KUPATA HABARI NA MATUKIO YA KILA SIKU, BONYEZA Like HAPA CHINI
Asante! TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

google+

linkedin

Maujanja Yote Tz Blog
  • Karibu katika Mtandao Huu unaotoa Habari Za Uhakika Kutoka Ndani Na Nje Na Tanzania. Kama una Tangazo,Habari,Picha,Ushauri n.k Wasiliana nasi kwa simu namba 0755-207374. Soma Zaidi

    0 comments:

     

    IDADI YA WASOMAJI

    TAFUTA HABARI HAPA