KWELI BAO LINA RAHA YAKE, ANGALIA STRAIKA ALIVYOANGUSHWA NA SHABIKI LAKINI BADO WOTE WAKAINUKA NA KUSHANGILIA PAMOJA! | MAUJANJA 24 NEWZ

HABARI ZA KITAIFA,KIMATAIFA,KUMBUKUMBU ZA KIHISTORIA,MICHEZO NA BURUDANI,NA MENGINE MENGI

Breaking News
Loading...

Tuesday, March 22, 2016

KWELI BAO LINA RAHA YAKE, ANGALIA STRAIKA ALIVYOANGUSHWA NA SHABIKI LAKINI BADO WOTE WAKAINUKA NA KUSHANGILIA PAMOJA!

Kama Bado Hujajiunga Nami, Unaweza Kujiunga Kwa Kubonyeza Like Hapa Chini Nikutumie Habari Moja Kwa Moja

Hivi uliiona hii baada ya mshambuliaji wa Newcastle, Aleksandar Mitrovic kufunga boa la kusawazisha katika mchezo dhidi ya watani wao wa jade Sunderland, Jumapili?

Baada ya kufunga boa hilo katika dakika ya 83, Mitrovic alivua shari kuanza kushangilia. Lakini shabiki mmoja naye aliingia kwenda kumpongeza, wakagongana na wote kuanguka chini.


Walipoinuka, kila mmoja akamkumatia mwenzake tena wakaendelea kushangilia na kuwashangaza wengi.
KUPATA HABARI NA MATUKIO YA KILA SIKU, BONYEZA Like HAPA CHINI
Asante! TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

google+

linkedin

Maujanja Yote Tz Blog
  • Karibu katika Mtandao Huu unaotoa Habari Za Uhakika Kutoka Ndani Na Nje Na Tanzania. Kama una Tangazo,Habari,Picha,Ushauri n.k Wasiliana nasi kwa simu namba 0755-207374. Soma Zaidi

    0 comments:

     

    IDADI YA WASOMAJI

    TAFUTA HABARI HAPA