Kama Bado Hujajiunga Nami, Unaweza Kujiunga Kwa Kubonyeza Like Hapa Chini Nikutumie Habari Moja Kwa Moja
Hivi uliiona hii baada ya mshambuliaji wa Newcastle, Aleksandar Mitrovic kufunga boa la kusawazisha katika mchezo dhidi ya watani wao wa jade Sunderland, Jumapili?
Baada ya kufunga boa hilo katika dakika ya 83, Mitrovic alivua shari kuanza kushangilia. Lakini shabiki mmoja naye aliingia kwenda kumpongeza, wakagongana na wote kuanguka chini.
Walipoinuka, kila mmoja akamkumatia mwenzake tena wakaendelea kushangilia na kuwashangaza wengi.
KUPATA HABARI NA MATUKIO YA KILA SIKU, BONYEZA Like HAPA CHINI
Asante! TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

0 comments:
Post a Comment