Kama Bado Hujajiunga Nami, Unaweza Kujiunga Kwa Kubonyeza Like Hapa Chini Nikutumie Habari Moja Kwa Moja

Mahakama ya juu zaidi nchini Brazil imemzuia rais wa zamani Luis Inacio Lula da Silva kuteuliwa kuwa mkuu wa utumishi wa umma.
Uamuzi huo sasa unairudisha kesi dhidi yake kuhusu ulanguzi wa pesa mahakamani .
Kumekuwa na hatua za kisheria kukabiliana na kuteuliwa kwake katokana na madai kuwa alikuwa akilindwa kutokana na uchunguzi wa kuhusika kwenye ufisadi.
Uamuzi wa hivi punde unatolewa muda mfupi baada ya Lula kuhutubia maelfu ya watu katika mkutano wa kuiunga mkono serikali mjini Sao Paulo.
KUPATA HABARI NA MATUKIO YA KILA SIKU, BONYEZA Like HAPA CHINI
Asante! TOA MAONI YAKO HAPA CHINI
0 comments:
Post a Comment